أَمْسَيْنَا وَأَمْسَى الْمُلْكُ لِلَّهِ وَالْحَمْدُ لِلَّهِ، لَا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيكَ لَهُ، لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
Amsayna wa amsal-mulku lillah, walhamdu lillah, la ilaha illal-lahu wahdahu la sharika lah, lahul-mulku wa lahul-hamdu wa huwa 'ala kulli shay'in qadir
Tumeshinda jioni na wakati huu ufalme ni wa Allah. Sifa zote ni za Allah. Hakuna mungu isipokuwa Allah peke yake, hana mshiriki. Ufalme ni Wake na sifa ni Zake, na Yeye ana uwezo juu ya kila kitu.