بِسْمِ اللَّهِ الَّذِي لَا يَضُرُّ مَعَ اسْمِهِ شَيْءٌ فِي الْأَرْضِ وَلَا فِي السَّمَاءِ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Bismillahil-ladhi la yadurru ma'asmihi shay'un fil-ardi wa la fis-sama'i wa huwas-Sami'ul-'Alim
Kwa jina la Allah, ambaye kwa jina Lake hakuna kitu kinachoweza kudhuru ardhini wala mbinguni, na Yeye ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.